TUMA HABARI YOYOTE ULIYONAYO KWENDA zimetokelezea@gmail.com AU Whatsapp No 0716790749

                                                  

                                                sugu-joseph-mbilinyi
                                                      Mh Joseph Mbilinyi "Sugu"
Kwa mujibu wa eddymoblaze blog na vyanzo vingine mbalimbali, mbunge wa Mbeya mjini, Mh. Joseph Mbilinyi “Sugu” amepata ajali ya barabarani wakati akielekea Arusha.
Ripoti hizo zinasema kuwa gari la Mh. Mbilinyi limegongana uso kwa uso na basi la abiria.
Ajali hiyo imetokea katika wilaya ya Hanang’, na taarifa hizo zinasema Sugu hajadhurika kwenye ajali hiyo.

0 comments :

 
Top