TUMA HABARI YOYOTE ULIYONAYO KWENDA zimetokelezea@gmail.com AU Whatsapp No 0716790749


LOVE ME or HATE ME BUT AM GONNA SAY IT! Mwanawane kama vijana hatutamrudia Mungu, tukaishi kwa maadili na kujitahidi kupambana na moto wa ujana wetu; kama tutashindwa kukaa chini tukaomba ushauri kwa watu waliokula chumvi na kufanya maombi, kama tutashindwa kujizuia na kila starehe ambazo mwisho hutuletea maumivu na masikitiko hii industry ya entertainment na hii slogan nzima ya vijana ni Taifa la leo itakuwa ni hewa. Wote tutaangamia in no time! Tutazidi kuwapa uchungu wazazi, marafiki na ndugu zetu. MUNGU NDIYE JIBU!!

0 comments :

 
Top