TUMA HABARI YOYOTE ULIYONAYO KWENDA zimetokelezea@gmail.com AU Whatsapp No 0716790749

[[VITUKO KANISANI]]

Kuna Jamaa Moja Alikwenda kanisani Alipo Fika Kanisani akakaa karibu na Dada Moja Mrembo Sana.

Wakati Mahubiri yakiendlea Jamaa Alianza Kumtongoza Yule Dada Mrembo

Mazungumzo Yalikuwa Hivi

Jamaa: dada mi nakupenda saana
Dem: Kaka naomba umsikilize mchungaji
Jamaa: nipe nafasi uwe msimamizi wa serikali ya moyo wangu...
Dem: niache bana Mbona Wee Msumbufu Hivi...
Jamaa: kweli nakupenda mpenzi
Dem: (kwa sauti kubwa) nmesema NIACHEEEE!!

Watu wote kanisani wakageuka Nyuma... Jamaa kaona noma na ili atulize msala

Jamaa:sikuachi hadi ukiri YESU kuwa Bwana na mwokozi wa Maisha yako.....

0 comments :

 
Top