| Mwenyekiti wa kamati ya hamasa mkoa wa Iringa Selina Charlesy Kisyeri akiwahutubia wakazi wa jimbo la Iringa mjini ktk uwanja wa Mwembetogwa leo |
mwenyekiti wa kamati ya hamasa kanda ya kusini John mwambigija akijibu mapigo ya naibu katibu mkuu wa CCM Bara Mwigulu Nchemba ya kudai ataopngoza mapambano kumtoa mbunge Peter Msigwa mwaka 2015 huku kada huyo wa Chadema akidai kama waziri mkuu wa Mbeya Rais wake Sugu wataongoza mapambano kuhakikisha CCM haimtoi Msigwa
Mwenyekiti huyo ametoa kauli hiyo leo wakatio akiwahutubia wananchi wa jimbo la Iringa mjini katika uwanja wa Mwembetogwa ikiwa ni siku mbili toka Nchemba kutangaza mikakati ya CCM katika kumwondoa mbunge Msigwa.
Mwenyekiti huyo ametoa kauli hiyo leo wakatio akiwahutubia wananchi wa jimbo la Iringa mjini katika uwanja wa Mwembetogwa ikiwa ni siku mbili toka Nchemba kutangaza mikakati ya CCM katika kumwondoa mbunge Msigwa.
Wakati huo huo jeshi la polisi limewataka viongozi wa Chadema mkoa wa Iringa kesho asubuhi na mapema kufika ofisi za jeshi hilo wilaya ya Iringa mjini kutokana na kuzidisha muda wa mkutano badalay ya kumaliza saa 12 kamili wamemaliza saa 12.7 jioni.
0 comments :
Post a Comment