TUMA HABARI YOYOTE ULIYONAYO KWENDA zimetokelezea@gmail.com AU Whatsapp No 0716790749

                     
Bilionea na mmiliki wa mitambo wa kufua umeme wa Kampuni ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL), Harbinder Singh Sethi,
amesema hatakubali hata kidogo kutaifishwa mitambo yake ya kuzalisha umeme ya IPTL kama ilivyopendekezwa na Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) mjini Dodoma hivi karibuni.

Nini maoni yako juu ya hii kauli yake ?

0 comments :

 
Top