Bieber ameamua kuliweka gari hili rangi sawasawa na na muonekano wa chui, na habari za uhakika kutoka ndani ya team ya msanii huyu zinasema kuwa, Staa huyu aliamua kufanya mchongo huu ili kuwezesha gari yake ku-match na mtoko wake wa 'kichui-chui' aliokuwa amejipanga kushine nao
kwa siku moja.
Hivi ndio gari ya staa huyu inavyoonekana baada ya kufanyiwa mabadiliko.
0 comments :
Post a Comment