Mgambo wa Manispaa ya Iringa na mwanasheria katikati Bw Innocent Kihaga wakielekea kuvunja nyumba zilizojengwa makaburini Mtwivila
Mgambo wa Halmashauri ya Manispaa ya Iringa wakivunja nyumba iliyojengwa katikati ya makaburi ya Mtwivila
Kaburi hili la Rashid M. Lukuvi likiwa jirani kabisa na ukuta wa nyumba hiyo iliyovunjwa
Hii ndio nyumba ambayo ipo jirani na kaburi la marehemu Idd Chonanga aliyekuwa diwani wa kata ya Nduli kaburi lenye mashada kushoto ,na hapo waliposimama mgambo ndipo alipokaa waziri mkuu Mizengo Pinda wakati wa mazishi na viongozi mbali mbali wa mkoa wa Iringa
0 comments :
Post a Comment