Padri John Wotherspoon anayechapisha barua mbalimbali za wafungwa wa Kitanzania waliofungwa katika magereza ya Hong Kong baada ya kukamatwa na dawa za kulevya anafanya ziara nchini Tanzania kutembelea familia za wafungwa hao. Padri Wotherspoon alianza ziara yake mwishoni mwa mwaka jana na anaendelea na ziara ya kutembelea familia hizo hadi hivi sasa.
Fr John Wotherspoon ambaye pia ni member wa JamiiForums anasema aliwasili nchini akiwa na fedha za wafadhili kukoka Hong Kong kwa ajili ya kusasadia familia za wafungwa walio magerezani Hong Kong. Lakini fedha hizo zimeishia kwenye familia 5 tuu huku bado akiwa na familia nyingine kama 30 za kutembelea na kuzijulia hali.
Padri huyo ambaye anaendesha kampeni yake dhidi ya madawa ya kulevya kwenye tovuti yake ya Pope Francis amekuwa akichapisha baru nyingi kutoka kwa wafungwa wa Kitanzania walioko magerezani huko Hong Kong baada ya kukamatwa na dawa za kulevya. Barua hizo zinapatikana hapa:2013).
Kwa maneno yake Padri mwenyewe akiwa ziarani Tanzania anasema:
The more I see of the poverty and hopelessness of the people here, the more I can understand why HK's Tz inmates were persuaded to become drug traffickers .....to try to get money for their families It's not convenient for me to put photos/details of some of the people I'm visiting these days.
e.g. one lady whose daughter is a HK university student. Daughter was persuaded by Drug Lord to become pregnant, and then when obviously pregnant, to consume drug capsules and go to HK ....with the aim of avoiding X-ray checks because pregnant. Baby was born in HK and spent its first year with mother in the hospital section of the prison. Baby now in a HK orphanage until mother is released in about 5 years time ...for trip back to Tanzania.
Kwa wale waliokuwa wanadhani kuwa zile barua zilikuwa feki na za kutunga sasa wana fursa ya kumwuliza mwenyewe huyo padri. Yupo Bongoland kajaa tele. For DRUG lORDS, mjumbe hauawi.
ANGALIA PICHA ZAIDI HAPA
Fr John Wotherspoon ambaye pia ni member wa JamiiForums anasema aliwasili nchini akiwa na fedha za wafadhili kukoka Hong Kong kwa ajili ya kusasadia familia za wafungwa walio magerezani Hong Kong. Lakini fedha hizo zimeishia kwenye familia 5 tuu huku bado akiwa na familia nyingine kama 30 za kutembelea na kuzijulia hali.
Padri huyo ambaye anaendesha kampeni yake dhidi ya madawa ya kulevya kwenye tovuti yake ya Pope Francis amekuwa akichapisha baru nyingi kutoka kwa wafungwa wa Kitanzania walioko magerezani huko Hong Kong baada ya kukamatwa na dawa za kulevya. Barua hizo zinapatikana hapa:2013).
Kwa maneno yake Padri mwenyewe akiwa ziarani Tanzania anasema:
e.g. one lady whose daughter is a HK university student. Daughter was persuaded by Drug Lord to become pregnant, and then when obviously pregnant, to consume drug capsules and go to HK ....with the aim of avoiding X-ray checks because pregnant. Baby was born in HK and spent its first year with mother in the hospital section of the prison. Baby now in a HK orphanage until mother is released in about 5 years time ...for trip back to Tanzania.
Kwa wale waliokuwa wanadhani kuwa zile barua zilikuwa feki na za kutunga sasa wana fursa ya kumwuliza mwenyewe huyo padri. Yupo Bongoland kajaa tele. For DRUG lORDS, mjumbe hauawi.
Alispend muda uwanjani hapo akitafuta kadi ya simu, USB modem nk |
Baada ya kuwasili alienda Baraza la Maaskofu Tanzania kutuma email na kupiga simu kutafuta chumba cha kulala lakini akakuta ofisi zao zimefungwa kwa ajili ya Krismasi na Mwaka Mpya. Ikambidi akatafute hoteli kitaa na kuipata hii. |
Hapa ni JKIA baada ya kuwasili nchini. Pichani ni mizigo yake. |
0 comments :
Post a Comment