TUMA HABARI YOYOTE ULIYONAYO KWENDA zimetokelezea@gmail.com AU Whatsapp No 0716790749

Click image for larger version. 

Name:	188cf85b83f543f9bc1966386745c1f5_18.jpg 
Views:	0 
Size:	19.3 KB 
ID:	254975


Vurugu za hivi karibuni zilizotokea nchini Burundi, kutokana na Rais Nkurunzinza kuvunja katiba kwa kitaka kugombea kwa mhura wa tatu. Zimepelekea watu wengi kukimbia nchini kwao na kukimbila kaskazini mwa Tanzani ambako wanakumbana na janga lingine na Kipindupindu.
Kutokana na taarifa zilizotolewa na shirika la afya duniani WHO, limesema kuwa mpaka sasa ni watu 31 wamefariki dunia huku watu 4,000 wakiwa wameambukizwa na ugonjwa huo.
Hata hivyo wamesema kuwa maambukizi yataendelea kuenea zaidi.

0 comments :

 
Top