TUMA HABARI YOYOTE ULIYONAYO KWENDA zimetokelezea@gmail.com AU Whatsapp No 0716790749

Hivi karibuni “actress” grade bongo, Kajala masanja ambaye pia ni mzazi mwenzie na producer P Funk Majani aliandika waraka mrefu “Instagram” kuelezea ni namna gani anaumizwa na ugomvi uliopo kati yake na Wema Sepetu.
Kwa mujibu wa mahojiano aliyokuwa akifanya Kajala mara kwa mara, alidai kuwa yupo tayari kusuluhishwa na amekuwa akijishusha mara kadhaa kum”beg” Madame.
Post aliyoiweka kwenye ukurasa wake wa IG mama Paula jana usiku, imetafsiriwa na fans pamoja na followers wake kama dongo kwa Wema Sepetu baada ya kudai amejishusha amechoka, kauli ambayo imeonekana ni katika kule kuchoshwa na kujishusha ili kutafuta suluhu ya tatizo lao.
“siku zote ukikimbizana na chizi nawewe utakua chizi!!! nimejishusha nimechoka” ameandika Kajala.

0 comments :

 
Top