
LOWASA! LOWASA! LOWASA!
i) Post nyingi za wanaccm Facebook
zinamzungumzia Lowasa!
ii) Post nyingi za wanaUKAWA Facebook
zinamzungumzia Lowasa!
iii) Post nyingi za wanaACT Facebook
zinamzungumzia Lowasa
iv) Magroup mengi ya siasa whatsaap
yanamzungumzia Lowasa muda mwingi!
v) Twitter tweets nyingi zinamzungumzia
Lowasa
vi) Viongozi wa kubwa wa vyama mbalimbali
vya siasa wameacha kunadi Sera zao
wamekalia Lowasa!
vii) Viongozi wa serikali wameacha ofisi zao
wapo Ngurudoto kuzungumza juu ya Lowasa
viii) Thread nyingi za Jamii forum
zinamzungumzia Lowasa!
ix) Magazeti Mengi habari zenye uzito ni
Lowasa!
x) Redio na tv ni Lowasa
xi) Ukirudi mitaani kila mtu haongei maneno
matatu bila kumtaja Lowasa!
xii) Mtanzania wa leo hapati usingizi mpaka
ataje Lowasa!
xiii) Watu kabla hata ya kupiga mswaki
asubuhi wanaamkia Lowasa!
0 comments :
Post a Comment