NOVAK AENDELEZA UBABE KATIKA TENISI HUKO MAREKANI!
Djockovic amemshinda Federer kwa jumla, kwa seti 6-, 5-7, 6-4, 6-4 na kwa ushindi huo mchezaji huyo ameweka rekodi ya kutwaa ushindi wa Grand slam ya tatu kwa mwaka huu.
Na ni Grand slam yake ya kumi katika maisha yake ya uchezaji wa tenisi .
Kwa upande wa wanawake muitaliano Flavia Pennetta alitwaataji la US Open kwa wanawake baada ya kumchapa muitaliano mwenzake Roberta Vinci.
Flavia alishinda kwa seti 7-6 7-4 6-2 baada ya ushindi huo nyota huyu mwenye miaka 33 akatangaza kustaafu mchezo huo.

0 comments :
Post a Comment