TUMA HABARI YOYOTE ULIYONAYO KWENDA zimetokelezea@gmail.com AU Whatsapp No 0716790749

“Nimekuwa nikifuatilia kampeni zinazoendelea nchini. Ukawa wametia fora maana wameonyesha ustaarabu, utulivu na heshima kwa nchi yetu. Kwa bahati mbaya, CCM ambayo ilikuwa ni chama changu, tangu walipoanza kampeni wanafanya maajabu na vituko. Walianza kampeni za matusi ya kustaajabisha. Licha ya CCM kuwa na sera nyingi, lakini hawazungumzii sera. Wanazungumzia mtu. Ukiona kila mtu anamzungumzia mtu mmoja, tena huyo huyo... jua kuwa mtu huyo atakuwa ni mzito sana. Siasa si uadui. Nimewaacha CCM kwa sababu siwezi kukubaliana na uongozi unaovunja katiba za chama, taratibu za chama na unaowadhalilisha wagombea wa urais. Kila mtu ana haki ya kumchagua rais anayemtaka” .alisema hayo Kingunge alipopanda jukwaa la UKAWA hapo jana

0 comments :

 
Top