TUMA HABARI YOYOTE ULIYONAYO KWENDA zimetokelezea@gmail.com AU Whatsapp No 0716790749








Hatimae mmoja kati ya wabunge wa JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA aliekua miongoni mwa wanaoitaka TANGANYIKA bungeni kuanzia mwaka 1993 aliekua mbunge wa KYELA,Mh LUMULI ALIPIPI KASYUPA ametangaza rasmi kujiunga na CHADEMA cku ya leo kwenye mkutano wa kampeni wa Mh.Edward Lowassa..

0 comments :

 
Top