Rais wa zamani wa Afrika kusini,marehemu Nelson Mandela amewacha wasia
kuwa mali yake yenye thamani ya dala milioni nne na laki moja igawiwe
kati ya mkewe Grace Machel,familia yake,shule alizowahi
kusomea,wafanyakazi na chama cha ANC. Hayo ni kwa mujibu wasia wake
uliofichuliwa hii leo.Je, wasia huo utasaidia kumaliza mivutano miongoni
mwa wana familia?
CHANZO BBC SWAHILI
Home
»
»Unlabelled
»
HUU NDIO USIA WA MANDELA JUU YA MALI ZLIZO ACHA
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
0 comments :
Post a Comment