TUMA HABARI YOYOTE ULIYONAYO KWENDA zimetokelezea@gmail.com AU Whatsapp No 0716790749




Rais wa Uganda Paul kagame amemteua Meja Jenerali Jacques Musemakweli kuwa Mkuu wa Jeshi la Utumishi  wa kikosi cha Ulinzi cha nchini Rwanda(RDF).
Musemakweli amekaimu nafasi ya Luteni Jenerali Frank Mushyo Kamanzi ambaye kwa sasa yupo nchini Sudan ambako mwezi uliopita alichaguliwa kama Kamanda wa Jeshi la Umoja wa nchi za Afrika (UNAMID).
Taarifa iliyotolewa na Wizara ya Ulinzi nchini Rwanda imeelezwa kuwa Meja Jenerali Alex Kagame aliekuwa kamanda wa kikosi cha Ulinzi amechukua nafasi iliyokuwa ya Musemakweli .


0 comments :

 
Top