TUMA HABARI YOYOTE ULIYONAYO KWENDA zimetokelezea@gmail.com AU Whatsapp No 0716790749






Mwandishi wa Times Fm Stanslambart Mzee wa Maskani, akishuhudia mgomba uliopandwa kwenye barabara ya Mwaikibaki, eneo la shule ya Msingi Mbez Beach. Vijana wa bodaboda na bajaji wameamua kufanya hivyo kama njia ya kusisitiza mamlaka husika zije kutatua tatizo la shimo linalosababisha ajali za mara kwa mara sehemu hiyo...........Tupia lako neno hapa
 
Je hii itawafanya Serikali kukumbuka wajibu wao ?

0 comments :

 
Top