Mary... Hallow mpenzii
Lily.... Niambie my dear
Mary.. Pouwaa za siku jamani ...
Lily.... Nzuri rafiki Yangu wa damu
Mary.. Jioni nakuja kwako tule Na kunywa japo wine wanguu
Lily..... Nakusubiri kwa hamuu mpenziiii
BAADA YA KUKATA SIMU... KILA MMOJA ANAWAZA
Lily..... Huyu mchawi wa kike Leo anataka kuja kwangu wala hanikuti.
Mary... Hahahahaaaa Uwiiiiiiiiii huyu kahaba eti nakusubir Kwa hamuu nani aende!!!
STORY ZA WAVULANA KATIKA SIMU
John.... Niaje we mbwaa
Sam.... Pouwa kichaa wanguu
John... Upo wap mpumbavu wewe
Sam... Niko hom, we fala Uko wap?
John.. Baadae nakuibukia jambaz langu tukale bata
Sawa... Pouwaa we ms**nge nakusubiri
BAADA YA KUKATA SIMU....KILA MMOJA ANAWAZA
John... Dah baadae nikakae na mwanangu Sam sijamuona long time
Sam.... John bwana akiwa Na pesa lazima anitafute mwanaeee.
FUNZO.. Baadhi ya Wasichana hujifanya wanapendana Kwa maneno lkn ni Kwa nje tu!! lkn WANACHUKIANA
WAVULANA unaweza Kudhani hawapendani Kwa Maneno lkn WANAPENDANA
Home
»
»Unlabelled
»
HUU NDIO UTOFAUTI WA WAVULANA NA WASICHANA
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
0 comments :
Post a Comment