Habari Mpya :
Mtandao wetu umefanikiwa kunasa picha mbalimbali za aibu za msanii
chipukizi na mwanamuziki Manaiki Sanga akifanya ufuska wa kutisha na
wanawake tofauti tofauti hali inayoonesha ameazimia kujitoa muhanga
juu ya gonjwa hatari la ukimwi linalotishia dunia nzima.
Habari za uhakika toka kwa chanzo chetu kilichotushushia shehena za
picha hizo kilisema msanii huyo ambae pia ni anaigiza pamoja na kundi
la Ze Komedi la East Afrika Tv tangu apate jina amekuwa akijihusisha
na vitendo viovu vya unyanyasaji wa kijinsia kwa kuwarubuni mabinti
kupiga nao picha za aibu kwa lengo la kutafuta jina na amekuwa
akitumia kiasi kikubwa cha pesa kufanikisha suala hilo.
Aidha katika hali nyingine msanii huyo
SOMA NA TAZAMA PICHA HAPA
0 comments :
Post a Comment