Actress maarufu Swahiliwood Aunt Ezekiel amechimbwa na kitu chenye ncha
kali kinachodaiwa kuwa chupa katika mkono wake wa kushoto. Tukio hilo
lilitokea juzi katika ukumbi wa Club Billicanas wakati Wema Sepetu
akitambulisha wasanii wake wapya wa Bongofleva.
0 comments :
Post a Comment