Aliyewahi kuwa Mwenyekiti wa UVCCM wilayani Siha, Godwin Mollel
ametangaza kujiunga na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA)
Akizungumza jana mbele ya waandishi wa habari amedai kwamba amechoshwa
na siasa chafu zinazoendeshwa na ccm, kitendo cha kutengeneza makundi ya
kigaidi kimemkera, na amekiri kwamba kuua raia wasio na hatia siyo
utamaduni wa kitanzania.
Amesema ameamua kuungana na chadema ambacho kimeonyesha dhamira ya dhati kuwatetea wanyonge wa nchi hii.
Mollel amekiri kwamba watanzania kupata maisha bora chini ya utawala wa ccm ni ndoto zisizo na majibu
Chanzo Jamii forum
Home
»
»Unlabelled
»
mwenyekiti UVCCM ajiunga na CHADEMA
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
0 comments :
Post a Comment