
WOTE TUJITOKEZE KUONYESHA UPENDO kesho JUMATANO tar 28may2014 ambapo ndiyo siku ya kumuaga rasmi mpendwa wetu,MAXIMILIAN NGUBE.wengi tulizoea kumwita PAPA...ITAKUWA VIWANJA VYA LEADERS saa 6 mchana na mazishi yatafanyika katika makaburi ya kinondoni.
kwa yeyote ambaye umeguswa na msiba huu,taarifa ndiyo hii hapa unaweza ukashare pia ili kuwafahamisha wengine.
R.I.P PAPA...TULIKUPENDA ILA MUNGU ALIKUPENDA ZAIDI...
0 comments :
Post a Comment