TUMA HABARI YOYOTE ULIYONAYO KWENDA zimetokelezea@gmail.com AU Whatsapp No 0716790749

Jumla ya watahiniwa 451,392 kati ya 792,118 sawa na asilimia 56.99 waliofanya mtihani wa darasa la 7 mwaka 2014 wamefaulu kwa kupata alama 100 au zaidi kati ya alama 250. Matokeo haya ni sawa na ongezeko la asilimia 6.38 kutoka 50.61. Ufaulu Katika masomo yote yakiongozwa na Kiswahili pia umepanda kwa kati ya asilimia 0.64 na 8.94 ikilinganishwa na mwaka 2013.
Nini maoni yako kuhusiana na matokeo haya?

      


DK. CHARLES E. MSONDE AKITANGAZA MATOKEO YA DARASA LA SABA MAPEMA HII LEO OFISINI KWAKE,MSONDA AMESEMA MATOKEO YA MWAKA HUU UFAURU WAKE NI MKUBWA UKILINGANISHA NA  YA MWAKA JANA


Matokeo ya Darasa la 7 kwa mwaka 2014 yametangazwa na Baraza la Mitihani Tanzania Necta ambapo katika matokeo hayo ya mwaka huu yanaonyesha Kiwango cha ufaulu kupanda kwa asilimia 56.99 Tofauti na ufaulu wa mwaka jana ambao ulikuwa Asilimia 51.6 Huku mkoa wa Dar es Salaam ukiongoza.

 HAYA HAPA NDO MATOKEO YENYEWE:

NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA

PSLE-2014 EXAMINATION RESULTS




0 comments :

 
Top