
Mwenyekiti
wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe,
amehukumiwa kwenda jela mwaka mmoja au kulipa faini ya Shilingi milioni
moja baada ya kupatikana na hatia ya kumshambulia Mwangalizi wa Ndani wa
Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2010, Nassir Uronu.
Hukumu hiyo ilitolewa na
Mahakama ya Hakimu Mkazi Wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro jana. Hata
hivyo, Mbowe alifanikiwa kulipa kiasi hicho cha faini na hivyo kuepuka
kwenda kutumikia kifungo cha mwaka mmoja jela.
Source NIPASHE
0 comments :
Post a Comment