
Aliyekamatwa na milion 700 Dodoma arudishiwa pesa zake, polisi yasema alikwenda Dodoma kununua nafaka
Jeshi la polisi mkoani Dodoma limekanusha taarifa zilizozagaa kuhusiana
na Raia wa Asia kukamtwa na fedha zaidi ya sh. m.700 kwa madai ya
kuwahonga wajumbe wa mkutano mkuu wa CCM ili wamchague mmoja kati ya
waliokuwa wanawania nafasi ya Urais
Polisi imesema kuwa uchunguzi
uliofanywa na jeshi la polisi umebaini kuwa hakuna kosa la jinai
lililothibitika licha ya kukutwa na kiasi
hicho cha fedha, tuhuma za rushwa ambazo ndiyo zilikuwa msingi wa
ukamataji wa mtu huyo hazikuthibitika, kwa kuwa hakuna aliyeona
akizigawa fedha hizo wala hakuna aliyedai kushawishiwa au kugawiwa fedha
hizo
0 comments :
Post a Comment