TUMA HABARI YOYOTE ULIYONAYO KWENDA zimetokelezea@gmail.com AU Whatsapp No 0716790749

Ligi kuu ya uingereza "Premier League" wameachia logo mpya itakayoanza kutumika kuanzia msimu ujao wa 2016/17.   Msimu mpya na mambo mapya, Ligi kuu ya Uingereza itakuwa "Premier"League" bila ya mdhamini yoyote kama ilivyozoeleka. Lengo kubwa ni  kujitambulisha wenyewe kama kampuni ya kiushindani.
Alama ya  mnyama simba na jina la mdhamini zilikuwa kwenye logo ya ligi hiyo tangu mwaka 1993, kabla ya benki ya Baclays ndio kuwa wadhamini wa kuu  wa ligi hiyo.

Uamuzi wa kubadilishi utambulisho wa ligi ulichukuliwa kama sehemu ya mkataba kati ya klabu za ligi kuu toka mwezi July mwaka 2015 kwa kutoa alama ya wadhamini kwenye logo ya ligi.
“From next season we will move away from title sponsorship and the competition will be known simply as the Premier League, a decision which provided the opportunity to consider how we wanted to present ourselves as an organisation and competition,”Anadai Mkurugenzi Mtendaji wa Ligi kuu ya Uingereza, Richard Masters.







0 comments :

 
Top