TUMA HABARI YOYOTE ULIYONAYO KWENDA zimetokelezea@gmail.com AU Whatsapp No 0716790749


Mbunge wa  Arumeru Mashariki kwa  tiketi ya CHADEMA Mhe. Nasari S. Joshua amekamatwa na Polisi.
Ni baada ya kupigiwa simu na Issaya Mngulu kuwa anahitajita Polisi na alipofika akaambiwa na RCO kuwa yuko 'under arrest' kwa tuhuma za kushambulia watu huko Monduli na hajaambiwa ni watu gani aliowashambulia...

Nawasilisha...

======
UPDATE:

Nassari ameachiwa baada ya CHADEMA Makao Makuu kuingilia kati lakini kwa masharti kuwa arejee kituoni siku atakayopangiwa kuandika maelezo.

0 comments :

 
Top