TUMA HABARI YOYOTE ULIYONAYO KWENDA zimetokelezea@gmail.com AU Whatsapp No 0716790749



Madiwani wawili waliokuwa wa chadema shinyanga sebastian mzuka na zacharia mfuko waliorubuniwa kuwa wajivue chadema kisha wahamie ccm kwa muda ambao atakuwa anajiandaa kuanzisha chama kimpya cha ACT ili wajiunge na wakafanya hivyo mwezi fabruary mwaka huu kwenye ziara ya nape nnauye 
Jana wamejitokeza kwenye mkutano wa hadhara wa chadema uliofanyika mkoani humo wakiwaomba radhi wananchi huku wakiwaangukia viongozi wa chadema wawapokee tena na wanajutia kosa lao.huku wakiwatahadhalisha wananchi kukiepuka chama cha ACT kuwa chama hicho kipo kwa maslahi ya ccm kwani wao wamehusika kwenye vikao vya ACT na ccm namna ya kukabiliana na chadema kuelekea 2015
Inavo semekana huu ulikuwa ni mpango wa Zitto, kuwahamisha hao viongozi ili wawe ACT


  

  Mdude Chadema's photo.Mdude Chadema's photo.Mdude Chadema's photo.

0 comments :

 
Top