TUMA HABARI YOYOTE ULIYONAYO KWENDA zimetokelezea@gmail.com AU Whatsapp No 0716790749

"Thomas Sankara once said “You cannot carry out fundamental change without a certain amount of madness”. Uwendawazimu 1) weka mikataba yote ya Rasilimali za Nchi wazi - PSAs and MDAs 2) Futa posho za makalio katika mfumo mzima wa Serikali kama Mpango wa Maendeleo unavyotaka 3) futa business class air tickets Kwa watendaji wa Serikali na wanasiasa isipokuwa Rais, Makamu wa Rais, Waziri Mkuu 4) futa matumizi ya mashangingi ( BoT wameonyesha mfano kwenye hili ) 5 futa uagizaji wa sukari kutoka Nje na anzisha miradi ya miwa tuuze sukari Nje 6 weka wazi taarifa ya Serikali kuhusu utoroshaji wa fedha na fungua mashtaka Kwa wahusika mara moja 7 wape takukuru mamlaka ya kukamata na kushtaki na kila mwenye Mali athibitishe yeye kaipataje ( reverse burden of proof ) 8 Mali na Madeni ya Viongozi yawe wazi Kwa umma na wananchi waruhusiwe kuhoji 9 ruhusu mshindi wa uchaguzi Zanzibar atangazwe na ufanye naye kazi 10 acha mchakato wa Katiba Kwa kuanzia alipoishia Warioba, achana na Katiba Pendekezwa" BY Zitto Kabwe

0 comments :

 
Top